
Tell your friends about this item:
Uandishi Katika Kiswahili Swahili edition
Elizabeth Godwin Mahenge
Uandishi Katika Kiswahili Swahili edition
Elizabeth Godwin Mahenge
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
Media | Books Paperback Book (Book with soft cover and glued back) |
Released | July 4, 2014 |
ISBN13 | 9791092789133 |
Publishers | DL2A - BULUU PUBLISHING |
Pages | 80 |
Dimensions | 5 × 152 × 229 mm · 131 g |
Language | Swahili |
More by Elizabeth Godwin Mahenge
See all of Elizabeth Godwin Mahenge ( e.g. Paperback Book )