Uandishi Katika Kiswahili - Elizabeth Godwin Mahenge - Books - DL2A - BULUU PUBLISHING - 9791092789133 - July 4, 2014
In case cover and title do not match, the title is correct

Uandishi Katika Kiswahili Swahili edition

Elizabeth Godwin Mahenge

Price
SEK 129
excl. VAT

Ordered from remote warehouse

Expected delivery Jun 12 - 23
Add to your iMusic wish list

Uandishi Katika Kiswahili Swahili edition

Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.

Media Books     Paperback Book   (Book with soft cover and glued back)
Released July 4, 2014
ISBN13 9791092789133
Publishers DL2A - BULUU PUBLISHING
Pages 80
Dimensions 5 × 152 × 229 mm   ·   131 g
Language Swahili  

Show all

More by Elizabeth Godwin Mahenge